Friday, December 18, 2009

Ungefuga kuku wa kienyeji


Sikukuu ya X-MASS na mwaka mpya inakaribia. Ni wazi kuwa bei ya nyama itaongezeka hata mara mbili. Familia nyingi hazitoweza kumudu kula nyama. Nyama ya kuku ndo usiombe kabisa nafikiri X-mass hii kuku atauzwa kuanzia shilingi 10,000 hadi 20,000/- Lakini mwananchi naomba nikuulize utashindwa kweli kufuga kuku wawili au watatu kwenye kibanda kidogo kwa mfumon huria? Mimi naamini ungefuga kuku wa kienyeji usingetaabika na kitoweo wakati wa sherehe hizi zinazokaribia tubadilike tuanze kufuga sasa kwa ajili ya Pasaka na Idd-Elftri ya mwakani.

No comments: