Sunday, December 13, 2009

Mawaziri kupanda waingia uwanjani kwa mabus miaka 48 ya UHURU

Nilikuwepo uwanja wa UHURU kwenye sherehe za miaka 48 ya Uhuru. Kwanza nikiri kuwa hii ni mara yangu ya kwanza kuhudhuria sherehe za uhuru katika uwanja wa UHURU. Pamoja na viburudisho vya ngoma za kitamaduni kutoka hapa nyumbani na nchini Uganda (Kikundi cha NDERE) na gwaride la vikosi vya majeshi ya polisi,jwtz, magereza,jkt + Halaiki ya wanafunzi. Kipya ni Mawaziri, Mabalozi, Wakurugenzi kuingia uwanjani na mabus ya kukodi. Naambiwa magari yao waliyaacha KARIMJEE! Hivi hili waandishi hawakuliona?

No comments: