Sunday, December 13, 2009

Kuwasimamisha MAJEMBE ni kupunguza kasi ya mabadiliko

Kwa kawaida binadamu hapendi mabadiliko. Hasa mabadiliko HASI. Hivi karibuni uongozi wa JIJI la Dar Es Salaam waliamua kuwatumia MAJEMBE Auction Mart kudhibiti hali mbaya ya usafiri hapa jijini wakisaidina na Traffic Police. Zoezi hilo halikudumu kwa muda mrefu baada ya wamiliki wa mabus kutishia kugoma (hasa kwa njia ya TABATA waligoma). Hatimaye kuufanya uongozi wa mkoa wa Dar Es Salaam kusitisha zoezi hilo. Jamani tusiogope mabadiliko tuyafanyie kazi na tutazoea tu. Kwa kawaida binadamu hapendelei mabadiliko HASI.

No comments: