Thursday, December 31, 2009

MWAKA 2009 NILIIKOSA XMASS YA MATOMBO

Nilipanga kwenda kijijini Matombo Morogoro kwa likizo ya muda mfupi kusherekea sikukuu ya XMASS mwaka huu ilishindikana kutokana na majukumu ya hapa kazini. Pengine hiki ni moja ya kitu nilichokikosa mwaka huu

No comments: