Monday, December 28, 2009

SIKUKUU NI YA WATOTO


Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watoto hawa wa kijiji cha Kisemvule wilaya ya Mkuranga, Pwani walivyosherehekea sikukuu ya X-mass 2009. Wameulamba na kwa kweli wamependeza. Watoto walipiga picha hii baada ya kupata pilau nzito. Baadaye wakatafuna korosho na embe hii ndiyo raha ya pwani usipime mwanangu!

No comments: