Thursday, December 31, 2009

NAMSHUKURU MUNGU NIMEWEZA KUNING'INIZA MENGI KWENYE BANZI WA MORO


Pamoja na majukumu mengi na mapya niliyokuwa nayo mwaka 2009 lakini namshukuru Mungu nimeweza kuning'iniza mengi katika blog hii. Kuna wakati nilining'iniza chache sana hasa mwezi Novemba 7 tu. Sababu ni nyingi- mtandao kugoma, na kutingwa na shughuli za ofisi pamoja na misiba haya yalionifanya nishindwe kutuma mambo mtandaoni. Namshukuru Mungu

No comments: