Thursday, December 31, 2009

TUTOKE HUKU


Vijiji vingi vya kiafrika haya ndiyo maisha ya wakulima.Usafiri wa shida, nyumba duni miundo mbinu ya kubahatisha. Lakini hebu angalia kwenye picha unavutiwa na rangi ya kijani ya uoto. Maana yake rutuba ipo. Je, wakulima wetu wataendelea kuishi kwenye mazingira haya mpaka lini? Hata, tutoke huku.

No comments: