Thursday, December 31, 2009

Simu inapotumika na mkulima kutika kupanga bei ya mazao shambani


Mwisho huu wa mwaka nawaletea picha iliyoshinda kwenye mashindano yaliyoendeshwa na jarida la kimataifa liitwalo 'Farming Matters.' Picha hii ni ya wakulima wa Phillipines maarufu kwa zao la mpunga. Mkulima anaweza kuwasiliana na mfanyabiashara kwa kutumia simu ya kiganjani kabla ya mavuno hivyo kuepukana na walanguzi kwani kwa kupitia simu majadiliano kuhusu bei hufanyika.

No comments: