Monday, September 10, 2012

Akina Mbetwa waongezeka

Bw na Bibi Paulo Mbetwa wa Dar wamebahatika kupata kijana wakiume na kuongeza familia ya watoto watatu akiwemo binti mmoja (wa kwanza). Pichani Mrs Nancy Banzi akimpakata mtoto mchanga-Mbetwa JR.Hongereni sana familia ya Mbetwa.

No comments: