Tuesday, September 11, 2012

Kisemvule maji bwerere

Moja ya kivutio cha Kijiji cha Kisemvule kilichopo mkoa wa Pwani wilaya ya Mkuranga ni upatikanaji wa maji. Kijiji hiki kiko umbali wa km 27 kutoka stesheni ya TAZARA-DSM. Ni kijiji kinachokua kwa kasi ya haraka kimaendeleo kiviwanda, biashara na elimu.

No comments: