Saturday, September 15, 2012

Walioimba "Yatubidi tukeshe"

Kwaya ya Mt. Vincent wa Paulo - Parokia ya Vikindu, jimbo kuu la Dar Es Salaam walioimba wimbo "Yatubidi Tukeshe kila wakati kwa maana hatuijui siku wa la saa...." Hivi sasa wanajiandaa kutoa mkanda wao wa picha wa kwanza.

No comments: