Wednesday, September 12, 2012

Mwanza Airport Duh!

Uwanja safi, ndege o.k. lakini majengo yake choka mbaya na yaleyale. Lakini nimetaarifiwa kuwa kuna mpango kabambe ya kuboresha majengo na miundombinu mingine ya kiwanja hicho ili kuvutia watalii zaidi kwani ni rahisi kwa watalii kuanza safari zao kwenda mbuga za Serengeti kupitia Mwanza kuliko Arusha.

No comments: