Wednesday, September 12, 2012

Ofisi za serikali Bunda

Kuna wafanyakazi wengi wa serikali wanapopata uhamisho kwenda sehemu nyingine huogopa na pengine huamua hata kuacha kazi. Nawashauri msiogope kuhama ofisi nyingi za serikali sikuhuzi zimeboreshwa na ofisi mpya zina miundombinu mipya kama tuliyoikuta Bunda mwezi Agosti 2012

No comments: