Saturday, September 22, 2012

Muhogo umeshambuliwa

Tukiwa shambani wilayani Bunda kwenye jaribio linalendeshwa na watafiti kutoka kituo cha Utafiti Ukiriguru, Mwanza baadhi ya aina za muhogo zilishambuliwa na wadudu na magonjwa. Muhogo huu pichani unaonyesha dalili ya kushambuliwa na 'redspider mites'

No comments: