Friday, September 14, 2012

Mambo ya 'Rocky City'- Mwanza

Jiji la Mwanza linajengwa kutokana na uchumi wa vitu vitatu- Biashara ya samaki, madini na kilimo cha pamba. Hakika kila mwaka jiji la Mwanza linabadilika kwa kasi ya kutisha. Utunzaji wa jiji na ni wa hali ya juu. Usafi unazingatiwa.


No comments: