Thursday, September 13, 2012

Matatizo ya maji mkoa wa Mara

Bado kuna wananchi wengi hapa hawapati maji masafi, salama na karibu kama inavyoonekana pichani akinamama wakikwangua maji kutoka kwenye korongo. Matatizo haya ya maji yanasibu sehemu mbambali hapa nchini kama vile mkoa wa Mara.Picha kutoka Daily news - 13/9/2012).

No comments: