Saturday, September 15, 2012

Kilwa Road yakarabatiwa

Barabara ya Kilwa ya sehemu ya jiji la Dar Es Salaam kutoka Bendera Tatu-Kurasini hadi Mbagala Rangi 3 inaendelea kukarabatiwa baada ya Waziri wa Ujenzi Mhe.John Pombe Magufuli kuikataa ilipokanidhiwa hapo awali kwa kuwa kiwango chake baada ya kutengenezwa kilikuwa ni cha chini mno na kuamru mkandarasi kuitengeneza upya. Kwa wakati huu usafiri kwa kutumia barabara hiyo ni wa shida kidogo hasa nyakati za asubuhi na jioni.

No comments: