Thursday, September 13, 2012

Utamaduni haukwepeki

Kila mmoja anapiga ngoma. Wasanii wa Sri Lanka wakiwakaribisha wajumbe wa Mkutano wa 58 wa Chama cha Mabunge Wanachama wa Jumuiya ya Madola (CPA. Pichani Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anna Makinda na Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe wakiwasili katika ukumbi huo.

No comments: