Thursday, September 13, 2012

Utafiti wa Ulezi unaendelea kanda ya Kaskazini

Tanzania ina uwezo wa kuweza kuzalisha ulezi kwa wingi na kutumika kwa lishe hasa uji wa watoto.Wachaga hutumia sana ulezi kwa kutengeneza mbege (kile inachoitwa kilemba ni ulezi). Ulezi hutoa kimea kizuri hivyo huweza pia kutumika kwa kutengeneza bia.Pichani watafiti wakiangalia jaribio la zao la ulezi huko Miwaleni. (Picha na Livingstone Mwedipando- ARI-Selian, Arusha)

No comments: