Thursday, September 13, 2012

Usafiri wa treni Dar kuanza Oktoba

Ukarabati wa reli kutoka ubungo maziwa hadi steshini jijini Dar unaendelea. Pichani mafundi wa Kampuni ya Reli (TRL) wakijaza mabonde kwa udongo katika eneo la Tabata Relini jana. Reli hiyo ikikamilika itasaidia sana kuboresha usafiri kwa wakazi wa jiji la Dar Es Salaam.(Picha kutoka gazeti la Mwananchi)

No comments: