Wednesday, September 12, 2012

Utafiti wa mahindi Kanda ya Kaskazini

Watafiti wa kituo cha Selian kilichopo Arusha wanaendelea na utafiti wa mahindi. Hili ni jaribio lilipo Ngaramtoni. (Picha kwa hisani ya Livingstone Mwedipando -Selian)

No comments: