Thursday, September 13, 2012

Magufuli na daraja la Kigamboni

Sasa ni vitendo. Daraja linalounganisha Kigamboni na Kurasini limeanza kujengwa. Pichani Waziri wa Ujenzi Mhe. John Pombe Magufuli (mwenye shati la draft) akikagua ujenzi huo jana tarehe 12/9/2012. Aliwataka wajenzi wa darajani hilo kampuni kutoka China kukamilisha daraja hilo kabla ya mwaka 2015.

No comments: