Monday, January 21, 2013

Kutunzwa imo

Mama Kasiba akiweka sawa kitenge alichotunzwa na mmoja wa marafiki zake siku ya kumuaga mwanae Hamisa. Katika sherehe kabambe iliyofanyika kwenye ukumbi wa Deluxe- Sinza kijiweni, Dar Es Salaam, tarehe 11/01/2013.

No comments: