Tuesday, January 15, 2013

Mr.Mkude alikumbuka enzi zake

Ulipofika wakati wakujimwaga uwanjani Mr. Mkude na mkewe Sango walijimwaga katika ukumbi wa Deluxe - Sinza kijiweni na kuserebuka. Mkude ni shemeji wa Hamisa na Bi. Sango ni dada wa Hamisa. Hongereni sana kwa kufanikisha shughuli!

No comments: