Tuesday, January 15, 2013

Watoto wanasehemu yao

Si vyema kuandika kwenye kadi kuwa watoto hawaruhusiwi. Watoto wanasehemu yao katika sherehe ni burudani tosha wanashrehesha sherehe. Angalia hawa walivyopendeza wakiwa katika 'colours of the day' kama Banzi wa Moro. Safi sana. Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye hafla ya kumuaga Bi. Hamisa binti Kasiba kwenye ukumbi wa Sinza Kijiweni jijini Dar - 11/1/2013. Tumejifunza nini hapa?

No comments: