Tuesday, January 15, 2013

Wakati wa kukatika katika kati kati!

Ndiyo, ukihudhuria sherehe basi wakati wakukatika kati kati haya! Usione haya usijikunyate changamka jimwage! Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwenye ukumbi wa Deluxe- Sinza wakati wa hafla ya kumwaga Bi. Hamisa Kasiba siku ya Ijumaa tarehe 11/1/2013.
Hapo sasa!
Definitely hii ni bakurutu tu!

No comments: