Monday, January 14, 2013

Migomba imeleta mifugo

Kilimo cha Migomba kimeongeza miradi mingine katika nyumba ya Bi. Elizabeth Norbert na mumewe kutoka kijiji cha Endanoga wilayani Babati Mkoani Manyara. Sasa wana mradi wa ng'ombe wa maziwa aina ya Fresian pamoja na mbuzi wa maziwa (Picha zote na Bw. Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

No comments: