Monday, January 21, 2013

Mzee Kasiba alizawadiwa shati

Ni nadra sana akina baba kutunzwa wakati wa sherehe za sendoff. Lakini kwa mzee Kasiba mambo yalikuwa tofauti kabisa, yeye alitunzwa shati wakati sherehe za kumuaga bintiye Hamisa ndani ya ukumbi wa Deluxe, Sinza.Angalia jinsi alivyokumbatia zwadi yake (Pichani-Mzee Kasiba aliyeketi na amefunga tai)

No comments: