Monday, January 14, 2013

Mzee Kasiba na Wakeze

Kama kuna mtu aliyekuwa na furaha siku ya tarehe 11/1/2013 pale Deluxe -Sinza kijiweni. Basi ni Mzee Kasiba siku alipomuaga rasmi binti yake Hamisa Kasiba kuanza maisha mapya ya ndoa.

No comments: