Monday, January 21, 2013

Magomeni bwana!

Jiji la Dar Es Salaam kila mmoja hujenga anavyopenda kutokana na uwezo wake pia.Unaweza ukajenga ghorofa na nyumba nyingine zikawa za kawaida kabisa hivyo wa ghorofani huona matukio yote kwenye nyumba za chini. Hapa ni Magomeni.

No comments: