Monday, January 14, 2013

Siku ya kuagwa Hamisa Kasiba

Tarehe 11/1/2013 itakuwa ni moja ya kukumbukwa na Bi.Hamisa Kasiba mtoto kutoka Kigoma alipofanyiwa sherehe fupi ya kumwaga na familia yake tayari kuanza maisha mapya ya ndoa. Sherehe zilifanyika katika ukumbi maarufu wa Deluxe - Sinza Kijiweni Jijini Dar. Shughuli ilifana sana. Kutoka kulia Bi. Hamisa akiwa na Matron wake wametulia tuli.

No comments: