Thursday, January 10, 2013

Ndani ya Sebule ya mfugaji wa Kimasai

Hivi ndivyo ilivyo sebule ya mfugaji Kimani Marende Ipanga wa kijiji cha Alkatan wilayani Monduli mkoani Arusha alipowakaribisha wajumbe kutoka sekretarieti ya huduma za uchumi na uzalishaji mkoa wa Arusha wakiburudika kwa kuangalia program ya TV pamoja na familia ya Kimani.

No comments: