Wednesday, November 23, 2011

Birthday ya Kisa!

Kisa anakata keki
Kisa anazima mishumaa
Kisa chai ya miaka 30
Tukiwa mafunzoni Dodoma, Kisa Tulibonywa Mwaisoba-Socio-Economist kutoka kituo cha Utafiti wa Kilimo Uyole, Mbeya aliazimisha birthday yake ya 30. Hongera dada Kisa una miaka zaidi ya 30 ya kufanya kazi ya utafiti!

No comments: