Wednesday, November 23, 2011

Chodo na Kuvunja vyombo

Kuvunja vyombo hakuna mkubwa wala mtoto.Tena mara nyingi wale walio na wafanyakazi wa nyumbani wakivunja vyombo hukatwa kwenye mishahara yao, wahudumu wa Bar wakivunja glass hukatwa kwenye posho zao! Kwa kweli kuvunja vyomba mara nyingi ni bahati mbaya na siyo makusudi.Hebu angalia yaliyomkuta baba Chodo.

No comments: