Thursday, November 10, 2011

Uwepo wa Michael Luanda na Mama wa Ubatizo

Ndugu yangu na rafiki yangu Bw. Michael Luanda (aliyenyau mikono)ambaye tumesoma naye Matombo na kwenda Njombe Sekondari mwaka 1974 alikuwepo kwenye viwanja vya Kisemvule akiambatana na mkewe ambaye ndiye Mama wa Ubatizo wa Catherine

No comments: