Thursday, November 24, 2011

Kilimanjaro Stars mazoezi ya kufa mtu


Zikiwa zimesalia takribani siku mbili mashindano ya CECAFA Challenge Cup kuanza siku ya Jumamosi jijini Dar. Wachezaji wa Kili Stars waliendelea kujifua kwenye uwanja wa Karume. Pichani chini Erasto Nyoni, Kushoto-Mbwana Samatta na kulia ni Said Morad (picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi tar 24/11/2011)

No comments: