Tuesday, November 15, 2011

Watafiti wajiandaa kwa Kilimo Masoko

Mkurugenzi Msaidizi - Mifumo ya Kilimo na Uchumi Jamii Bw. Ninatubu Lema (wa pili kutoka kushoto)akiongoza mafunzo ya utafiti wa kilimo masoko yaliyoanza tarehe 14 Novemba 2011 mjini DodomaWachumi Kilimo kutoka Idara ya Utafiti na Maendeleo wakiwa katika mafunzo ya muda mfupi ya jinsi ya kuandaa tungo bora kwa ajili ya utafiti Kilimo Masoko. Lengo ni kuweza kuwa na taarifa za uhakika katika uwekezaji katika kilimo. Kwa mfano ni vyema mkulima akafahamu katika mazingira yake kama kulima mpunga kunalipa na kwa kiasi gani.

No comments: