Thursday, November 24, 2011

Chodo na Elimu ya Afya

Kweli Chodo hata wasomi wetu kwenye hili jambo wako nyuma sana. Tembelea mashuleni, ofisini ni uchafu, uchafu, uchafu lo. Vyoo vichafu, vyumba vichafu, mifereji michafu viwanja navyo ni vichafu. Kwa hiyo kujifunza tu elimu ya afya hakutoshelezi inatakiwa kujifunza kwa vitendo.

No comments: