Wednesday, November 23, 2011

UDOM ni mji ndani ya mji

Chuo Kikuu cha Dodoma kwa mpangilio wake kiko safi sana kina eneo kubwa na kimejengwa mahali pazuri kilimani! Mpangilio wake ni kwa Colleges na huko kuna miundombinu yote. Kama alivyosema Maamud inatakiwa menejimenti nzuri na uwezeshaji wa hali ya juu kuiweka UDOM katika hali nzuri na kuiboresha zaidi




No comments: