Saturday, November 26, 2011

Natoa Vyeti

Mwezi wa Kumi mwaka huu wanafunzi Wakristo wa Bright Angels Secondary School walinialika kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya wanachama wa vyama vyao vya kidini hapo chuo waliohitimu kidato cha Nne. Lazima nikiri kuwa hiyo ni mara yangu ya kwanza kutunuku vyeti kwa wahitimu ni heshima iliyoje! Shukrani

No comments: