Wednesday, November 23, 2011

Kula ukipendacho

Fredy na mdogo wake Athony wakichagua msosi!
Dada Ghana akimwambia kaka yake Fredy anza wewe
Dada Eddy-msosi mtamu sana!
Christian Mkoba a.k.a Rizik, nyumba hujengwa kwa matofali!
Dada Esther msosi 'gumala'Tukikutana Africana. Tunajadiliana na maamuzi yenye manufaa ya kikundi hutolewa (mengine magumu) lakini hatukosi msosi wa pamoja. Jumapili tulikuwa Chang'ombe nyumbani kwa familia ya Japhet Kirita (Baba Jordan). Asanteni sana kwa maandalizi mazuri. Jumapili ya tarehe 11/12/2011 Africana watakutana nyumbani kwa Bw. Christian Mkoba a.k.a. Rizikiel au Matombo maarufu kama Baba Mbiki- huko Mikocheni saa 6.00 juu ya alama.

No comments: