Friday, November 21, 2014

Dr. Florence Turuka Matawi ya Juu

Tulipokuwa Tosamaganga High School, Dr. Florence Turuka (kulia) alikuwa Form V  maana yake alikuwa mdogo wetu! Dr. Turuka sasa ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (kushoto ni bosi wake Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda). Ninavyomfahamu Turuka tangu tukiwa Tosa ni 'kichwa' mwadilifu, social na mtu wa watu. Mpaka leo tukikutana hakosi kuniita Kaka Banzi.Je, wengine wanaweza? Dr. Turuka umetupaisha sana wana TOSA. Hata George Nyaupumbwe  a.k.a. Ngi anafahamu hilo. (Picha imenyofolewa kutoka Michuzi Blog)

No comments: