Monday, November 10, 2014

Huwezi kuwakataza watoto wa familia

Watanzania tumekuwa na tabia mbaya ya kuandika kwenye kadi kuwa watoto hawaruhusiwi kwenye hafla za harusi na sendoffs. Lakini huwezi kuwakataza watoto wa familia. Watajifunzaje kushughulikia matukio haya muhimu wakati tunawakataza? Pichani watoto wa Familia ya Mbetwa wakiwa ukumbini siku ya harusi ya baba yao mdogo Mpoki. Angalia jinsi wanavyoburudika na soda!

No comments: