Friday, November 7, 2014

Tusiime yaongoza tena STD VII-DAR 2014

Tusiime students (picha ya maktaba - mtandao)
Shule ya Tusiime iliyoko wilaya ya Ilala mkoa wa Dar Es Salaam  katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba Kitaifa 2014 imefanya hivi:-

 Wanafunzi waliofanya mtihani 168
 1st Wilaya ya Ilala- shule 101
1st Mkoa wa Dar Es Salaam- 506
8 Kitaifa- 1586

Kweli TUSIIME ni shidaaaaa!

No comments: