Monday, November 10, 2014

Magomeni Mapipa jana

Magomeni Mapipa nilivyoikuta jana jioni baada ya ujenzi wa barabara ya mabus ya kwenda kasi. Wakati ule sisi tunaishi pale Magomeni Qtrs hapa Mapipa hakukuwa na ghorofa hata moja. Wakati tunakwenda Jangwani kuangalia mazoezi ya Simba na Yanga tulikuwa tunakatiza hapo juu. Dar Es Salaam na vitongoji vyake inabadilika kwa kasi ya ajabu!

No comments: