Wednesday, November 5, 2014

Mahindi kutoka kwa watafiti wa Selian

Ni kweli zipo aina bora ya mbegu za mahindi zenye uwezo wa kuzaa mahindi mengi na bora. Kituo cha utafiti  wa Kilimo Selian kilichopo Arusha kwa muda mrefu kimekuwa kikitafiti aina bora za mbegu za mahindi zinazofaa mazingira ya wakulima wa Kanda ya Kaskazini hapa nchini moja ya mbegu zilizokwisha pendekezwa ni Selian H208 na Situka. Kwa maelezo zaidi wasiliana na kituo cha Utafiti Selian( Contact. Dr. Mafuru (ZD) -0756657316)

No comments: