Wednesday, November 5, 2014

Vipeperushi vya kilimo cha mahindi na mbaazi

Vipeperushi hivi vimeandaliwa na kituo cha Utafiti wa Kilimo Selian, Arusha. Kinaelezea jinsi mkulima anavyoweza kulima mbaazi na mahindi (intercropping) kwa kurutubisha udongo, kuzalisha mazao kwa wingi hatimaye kuongeza kipato cha mkulima

No comments: