Wednesday, November 19, 2014

Ni ufisadi tu huo

Hebu fikiri mwaka 2010 tu alikuwa kimbambau na TV yake ya kitumbo. Mwaka 2014 miaka minne baadaye mjamaa ameshajikusanyia chake kupumua anashindwa ulimi unamtoka na huku akiwa amebadili TV na kuwa na flat screen. Ni ufisadi tu!

No comments: