Friday, November 7, 2014

Ufaulu darasa la saba 2014 - Morogoro Vijijini hali ni tete




























 





NAFASI YA SHULE
  Matombo Gozo Kibangile Kibungo Juu
waliofanya mtihani 63 33 31 32
Kiwilaya (149) 70 39 55 80
Kimkoa (520) 483 305 410 547
Kitaifa(15867) 10577 6809 9094 11955
  3 1 2 4










Hebu angalia takwimu za ufaulu kwa baadhi ya shule za msingi maarufu Morogoro vijijini-Hali ni tete. Tukae na tuone jinsi ya kujikwamua kutoka kwenye hali hii. Mwaka wa jana pia hali ilikuwa si nzuri. Hata wanafunzi wanaofanya mtihani kwa darasa la saba ni wachache ukilinganisha na shule nyingine. Basi kwa uchache huo nilitegemea kuwa watoto wangefanya vizuri. Wanaweza wasifanye vizuri kwenye somo la kiingereza lakini hesabu Je?



















No comments: