Friday, November 7, 2014

Queen wa Mzinga Shule ya Msingi apasua A tupu!

Mwanafunzi Queen Damian Mpangwa wa darasa la saba kutoka shule ya msingi Mzinga-Temeke Vijijini, Mkoa wa Dar Es Salaam anatisha! Amepasua  vibaya kwenye matokeo ya darasa la saba 2014. Hebu angalia matokeo yake.

Kiswahili -  A
English-      A
Maarifa -    A
Hisabati-    A
Science -   A
Wastani -  A

Hii ni shule ya  kawaida ya umma. Nimeambiwa na mwalimu wa shule hiyo kuwa mwanafunzi huyu anatoka familia ya kipato cha chini na anaishi na mama yake. HONGERA sana Queen  umezipaisha shule za umma.

No comments: